1. Taarifa Tunazokusanya
Tunakusanya namba ya simu, taarifa za OTP, hali ya subscription, rekodi za malipo, chaguo za mikeka, bet codes ulizotengeneza, ujumbe unaotuma kwa Wakamaria AI, na taarifa za kawaida za kiufundi kama browser/device session ili kulinda akaunti yako.
2. Tunavyotumia Taarifa
Taarifa zinatumika kuthibitisha login, kutuma OTP, kuwezesha malipo, kufungua access, kuonyesha mikeka, kuboresha AI analysis, kulinda mfumo dhidi ya matumizi mabaya, na kutoa support pale unapohitaji msaada.
3. Malipo Na Watoa Huduma
Kwa malipo, taarifa muhimu kama namba ya simu, kiasi, package na transaction reference zinaweza kutumwa kwa payment provider ili USSD push au uthibitisho wa malipo ufanyike. Hatuhifadhi PIN yako ya mobile money.
4. Wakamaria AI
Maswali unayouliza Wakamaria AI yanaweza kutumika kutoa majibu, kuboresha context ya mfumo, na kulinda ubora wa huduma. Usiweke taarifa nyeti kama PIN, password, taarifa za benki au siri binafsi kwenye chat.
5. Cookies Na Sessions
Tunatumia cookies/session tokens kukutambua baada ya login na kulinda forms dhidi ya CSRF. Ukizima cookies, baadhi ya sehemu kama login, malipo na slip builder zinaweza kushindwa kufanya kazi.
6. Usalama
Tunatumia mbinu za kiufundi kama HTTPS, session security, CSRF protection na access checks. Hata hivyo, hakuna mfumo wa mtandaoni unaoweza kuhakikishiwa usalama wa asilimia 100; mtumiaji pia anapaswa kulinda simu na akaunti yake.
7. Mawasiliano
Kwa maswali kuhusu privacy au taarifa zako, tumia mawasiliano rasmi ya wakamaria.com yaliyopo kwenye mfumo.